Kutoka 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+ Zaburi 72:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na abarikiwe Yehova Mungu, Mungu wa Israeli,+Ambaye peke yake anafanya kazi za ajabu.+ Zaburi 77:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wewe ndiye Mungu wa kweli, unayefanya kwa njia ya ajabu.+Umezijulisha nguvu zako katikati ya vikundi vya watu.+ Danieli 6:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Anaokoa na kukomboa+ na kufanya ishara na maajabu mbinguni+ na duniani,+ kwa maana amemwokoa Danieli kutoka katika makucha ya simba.”
11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+
14 Wewe ndiye Mungu wa kweli, unayefanya kwa njia ya ajabu.+Umezijulisha nguvu zako katikati ya vikundi vya watu.+
27 Anaokoa na kukomboa+ na kufanya ishara na maajabu mbinguni+ na duniani,+ kwa maana amemwokoa Danieli kutoka katika makucha ya simba.”