Kutoka 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+ Zaburi 77:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wewe ndiye Mungu wa kweli, unayefanya kwa njia ya ajabu.+Umezijulisha nguvu zako katikati ya vikundi vya watu.+ Zaburi 136:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yule peke yake aliye Mtendaji wa mambo ya ajabu, mambo makuu:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+
14 Wewe ndiye Mungu wa kweli, unayefanya kwa njia ya ajabu.+Umezijulisha nguvu zako katikati ya vikundi vya watu.+
4 Yule peke yake aliye Mtendaji wa mambo ya ajabu, mambo makuu:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+