Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+

      Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+

      Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+

  • 1 Samweli 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Yehova ni Mwenye Kuleta Umaskini+ na Mwenye Kutajirisha,+

      Ni Mwenye Kushusha, pia Mwenye Kuinua,+

  • Zaburi 72:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na abarikiwe Yehova Mungu, Mungu wa Israeli,+

      Ambaye peke yake anafanya kazi za ajabu.+

  • Zaburi 86:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana wewe ni mkuu na unafanya mambo ya ajabu;+

      Wewe ni Mungu, wewe peke yako.+

  • Danieli 4:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Na wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa si kitu,+ naye anafanya kulingana na mapenzi yake kati ya majeshi ya mbinguni na wakaaji wa dunia.+ Wala hakuna yeyote anayeweza kuzuia mkono wake+ au anayeweza kumuuliza, ‘Umekuwa ukifanya nini?’+

  • Ufunuo 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nao wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema:

      “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki