Kutoka 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+ 1 Samweli 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova ni Mwenye Kuleta Umaskini+ na Mwenye Kutajirisha,+Ni Mwenye Kushusha, pia Mwenye Kuinua,+ Zaburi 72:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na abarikiwe Yehova Mungu, Mungu wa Israeli,+Ambaye peke yake anafanya kazi za ajabu.+ Zaburi 86:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana wewe ni mkuu na unafanya mambo ya ajabu;+Wewe ni Mungu, wewe peke yako.+ Danieli 4:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa si kitu,+ naye anafanya kulingana na mapenzi yake kati ya majeshi ya mbinguni na wakaaji wa dunia.+ Wala hakuna yeyote anayeweza kuzuia mkono wake+ au anayeweza kumuuliza, ‘Umekuwa ukifanya nini?’+ Ufunuo 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nao wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+
11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+
35 Na wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa si kitu,+ naye anafanya kulingana na mapenzi yake kati ya majeshi ya mbinguni na wakaaji wa dunia.+ Wala hakuna yeyote anayeweza kuzuia mkono wake+ au anayeweza kumuuliza, ‘Umekuwa ukifanya nini?’+
3 Nao wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+