Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+

      Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+

      Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+

  • Zaburi 92:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Jinsi zilivyo kuu kazi zako, Ee Yehova!+

      Fikira zako ni zenye kina kikubwa sana.+

  • Zaburi 111:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kazi za Yehova ni kuu,+

      ד [Daʹleth]

      Zinazotafutwa na wale wote wanaopendezwa nazo.+

  • Zaburi 139:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nitakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa njia ya ajabu yenye kuogopesha.+

      Kazi zako ni za ajabu,+

      Kama vile nafsi yangu inavyojua vema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki