Kutoka 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+ Zaburi 92:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Jinsi zilivyo kuu kazi zako, Ee Yehova!+Fikira zako ni zenye kina kikubwa sana.+ Zaburi 111:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kazi za Yehova ni kuu,+ ד [Daʹleth]Zinazotafutwa na wale wote wanaopendezwa nazo.+ Zaburi 139:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nitakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa njia ya ajabu yenye kuogopesha.+Kazi zako ni za ajabu,+Kama vile nafsi yangu inavyojua vema.+
11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+
14 Nitakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa njia ya ajabu yenye kuogopesha.+Kazi zako ni za ajabu,+Kama vile nafsi yangu inavyojua vema.+