Ayubu 26:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Tazama! Hizo ndizo kingo za njia zake,+Nao ni mnong’ono ulioje wa jambo lililosikiwa juu yake!Lakini kuhusu mngurumo wake wenye nguvu ni nani anayeweza kuonyesha uelewaji?”+ Zaburi 139:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo, jinsi mawazo yako yalivyo yenye thamani kwangu!+Ee Mungu, jinsi jumla yake yote ilivyo kuu!+ Isaya 28:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na haya pia yametoka kwa Yehova wa majeshi mwenyewe,+ ambaye amekuwa wa ajabu katika shauri, ambaye amefanya kwa njia kuu kazi yenye matokeo.+ Waroma 11:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!
14 Tazama! Hizo ndizo kingo za njia zake,+Nao ni mnong’ono ulioje wa jambo lililosikiwa juu yake!Lakini kuhusu mngurumo wake wenye nguvu ni nani anayeweza kuonyesha uelewaji?”+
17 Kwa hiyo, jinsi mawazo yako yalivyo yenye thamani kwangu!+Ee Mungu, jinsi jumla yake yote ilivyo kuu!+
29 Na haya pia yametoka kwa Yehova wa majeshi mwenyewe,+ ambaye amekuwa wa ajabu katika shauri, ambaye amefanya kwa njia kuu kazi yenye matokeo.+
33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!