Zaburi 40:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wewe mwenyewe umefanya mambo mengi,+Ee Yehova Mungu wangu, naam, kazi zako za ajabu na mawazo yako kutuelekea;+Hakuna wa kulinganishwa nawe.+Ikiwa ningetaka kueleza na kusema juu yake,Zimekuwa nyingi sana kuliko vile ninavyoweza kusimulia.+ Yeremia 32:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 mkuu katika shauri+ na mwingi katika matendo,+ wewe ambaye macho yako yamefunguliwa juu ya njia zote za wanadamu,+ ili kumpa kila mmoja kulingana na njia zake na kulingana na matunda ya matendo yake;+ Waroma 11:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!
5 Wewe mwenyewe umefanya mambo mengi,+Ee Yehova Mungu wangu, naam, kazi zako za ajabu na mawazo yako kutuelekea;+Hakuna wa kulinganishwa nawe.+Ikiwa ningetaka kueleza na kusema juu yake,Zimekuwa nyingi sana kuliko vile ninavyoweza kusimulia.+
19 mkuu katika shauri+ na mwingi katika matendo,+ wewe ambaye macho yako yamefunguliwa juu ya njia zote za wanadamu,+ ili kumpa kila mmoja kulingana na njia zake na kulingana na matunda ya matendo yake;+
33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!