Zaburi 89:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana ni nani kule angani anayeweza kulinganishwa na Yehova?+Ni nani anayeweza kufanana na Yehova kati ya wana wa Mungu?+ Isaya 55:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Kwa maana mawazo yenu si mawazo yangu,+ wala njia zangu si njia zenu,”+ asema Yehova.
6 Kwa maana ni nani kule angani anayeweza kulinganishwa na Yehova?+Ni nani anayeweza kufanana na Yehova kati ya wana wa Mungu?+