Zaburi 40:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wewe mwenyewe umefanya mambo mengi,+Ee Yehova Mungu wangu, naam, kazi zako za ajabu na mawazo yako kutuelekea;+Hakuna wa kulinganishwa nawe.+Ikiwa ningetaka kueleza na kusema juu yake,Zimekuwa nyingi sana kuliko vile ninavyoweza kusimulia.+ Mhubiri 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Lile ambalo limekuja kuwako liko mbali sana na ni lenye kina kirefu sana. Ni nani anayeweza kulitambua?+ Waroma 11:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kwa maana “ni nani amekuja kuijua akili+ ya Yehova, au ni nani amekuwa mshauri wake?”+
5 Wewe mwenyewe umefanya mambo mengi,+Ee Yehova Mungu wangu, naam, kazi zako za ajabu na mawazo yako kutuelekea;+Hakuna wa kulinganishwa nawe.+Ikiwa ningetaka kueleza na kusema juu yake,Zimekuwa nyingi sana kuliko vile ninavyoweza kusimulia.+
24 Lile ambalo limekuja kuwako liko mbali sana na ni lenye kina kirefu sana. Ni nani anayeweza kulitambua?+