Isaya 40:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ni nani ambaye ameipima roho ya Yehova, na ni nani kama mtu wake wa mashauri anayeweza kumjulisha jambo lolote?+ Danieli 4:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa si kitu,+ naye anafanya kulingana na mapenzi yake kati ya majeshi ya mbinguni na wakaaji wa dunia.+ Wala hakuna yeyote anayeweza kuzuia mkono wake+ au anayeweza kumuuliza, ‘Umekuwa ukifanya nini?’+
13 Ni nani ambaye ameipima roho ya Yehova, na ni nani kama mtu wake wa mashauri anayeweza kumjulisha jambo lolote?+
35 Na wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa si kitu,+ naye anafanya kulingana na mapenzi yake kati ya majeshi ya mbinguni na wakaaji wa dunia.+ Wala hakuna yeyote anayeweza kuzuia mkono wake+ au anayeweza kumuuliza, ‘Umekuwa ukifanya nini?’+