Ayubu 21:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Je, atamfundisha hata Mungu ujuzi,+Wakati yeye Huyo anawahukumu walio juu?+ Ayubu 36:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ni nani amemtaka atoe hesabu juu ya njia yake,+Na ni nani amesema, ‘Wewe umetenda ukosefu wa uadilifu’?+ Waroma 11:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kwa maana “ni nani amekuja kuijua akili+ ya Yehova, au ni nani amekuwa mshauri wake?”+
23 Ni nani amemtaka atoe hesabu juu ya njia yake,+Na ni nani amesema, ‘Wewe umetenda ukosefu wa uadilifu’?+