4 Hakika ikiwa Mungu hakujizuia kuwaadhibu wale malaika+ waliofanya dhambi, bali, kwa kuwatupa ndani ya Tartaro,+ aliwatia ndani ya mashimo yenye giza zito ili wawekwe akiba kwa ajili ya hukumu;+
9 Lakini wakati Mikaeli,+ yule malaika mkuu+ alipokuwa na tofauti+ na Ibilisi na kubishana naye juu ya mwili wa Musa,+ yeye hakuthubutu kumhukumu kwa matukano,+ bali alisema: “Yehova na akukemee.”+