2 Petro 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 lakini malaika, ijapokuwa wao ni wakuu zaidi katika nguvu na uwezo, hawaleti juu yao shtaka kwa matukano,+ wakiepuka kufanya hivyo kwa sababu ya kumheshimu Yehova.+
11 lakini malaika, ijapokuwa wao ni wakuu zaidi katika nguvu na uwezo, hawaleti juu yao shtaka kwa matukano,+ wakiepuka kufanya hivyo kwa sababu ya kumheshimu Yehova.+