Luka 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Nao wakaendelea kumsihi+ asiwaagize waingie katika abiso.+ Waefeso 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 kwa sababu tuna kushindana mweleka,+ si juu ya damu na mwili, bali juu ya serikali,+ juu ya mamlaka,+ juu ya watawala wa ulimwengu+ wa giza hili, juu ya majeshi ya roho waovu+ katika mahali pa kimbingu. 1 Petro 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Katika hali hiyo pia alienda zake na kuwahubiria roho walio gerezani,+
12 kwa sababu tuna kushindana mweleka,+ si juu ya damu na mwili, bali juu ya serikali,+ juu ya mamlaka,+ juu ya watawala wa ulimwengu+ wa giza hili, juu ya majeshi ya roho waovu+ katika mahali pa kimbingu.