Isaya 40:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Alishauriana na nani ndipo mtu amfanye aelewe, au ni nani anayemfundisha katika njia ya haki, au kumfundisha ujuzi,+ au kumjulisha njia ya ufahamu wa kweli?+ Waroma 11:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kwa maana “ni nani amekuja kuijua akili+ ya Yehova, au ni nani amekuwa mshauri wake?”+ 1 Wakorintho 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana “ni nani ameijua akili ya Yehova,+ ndipo amfundishe?”+ Lakini sisi tunayo akili+ ya Kristo.
14 Alishauriana na nani ndipo mtu amfanye aelewe, au ni nani anayemfundisha katika njia ya haki, au kumfundisha ujuzi,+ au kumjulisha njia ya ufahamu wa kweli?+
16 Kwa maana “ni nani ameijua akili ya Yehova,+ ndipo amfundishe?”+ Lakini sisi tunayo akili+ ya Kristo.