1 Wakorintho 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana “ni nani ameijua akili ya Yehova,+ ndipo amfundishe?”+ Lakini sisi tunayo akili+ ya Kristo.
16 Kwa maana “ni nani ameijua akili ya Yehova,+ ndipo amfundishe?”+ Lakini sisi tunayo akili+ ya Kristo.