Ayubu 34:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo nisikilizeni mimi, ninyi watu walio na moyo wenye kufahamu.+Hasha, Mungu wa kweli asitende kwa uovu,+Na Mweza-Yote kutenda isivyo haki!+ Waroma 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi, tuseme nini? Je, Mungu ana ukosefu wa haki?+ Isiwe hivyo kamwe!
10 Kwa hiyo nisikilizeni mimi, ninyi watu walio na moyo wenye kufahamu.+Hasha, Mungu wa kweli asitende kwa uovu,+Na Mweza-Yote kutenda isivyo haki!+