Kumbukumbu la Torati 32:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+ 2 Mambo ya Nyakati 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye akawaambia wale waamuzi: “Oneni mnalofanya,+ kwa sababu hamhukumu kwa ajili ya mwanadamu bali kwa ajili ya Yehova;+ naye yupo pamoja nanyi katika jambo la hukumu.+ Ayubu 34:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo nisikilizeni mimi, ninyi watu walio na moyo wenye kufahamu.+Hasha, Mungu wa kweli asitende kwa uovu,+Na Mweza-Yote kutenda isivyo haki!+
4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+
6 Naye akawaambia wale waamuzi: “Oneni mnalofanya,+ kwa sababu hamhukumu kwa ajili ya mwanadamu bali kwa ajili ya Yehova;+ naye yupo pamoja nanyi katika jambo la hukumu.+
10 Kwa hiyo nisikilizeni mimi, ninyi watu walio na moyo wenye kufahamu.+Hasha, Mungu wa kweli asitende kwa uovu,+Na Mweza-Yote kutenda isivyo haki!+