Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Nami nikawaamuru waamuzi wenu wakati huo, na kusema, ‘Mnaposikiliza kesi kati ya ndugu zenu, hukumuni kwa uadilifu+ kati ya mtu na ndugu yake au mkaaji mgeni wake.+

  • Yohana 5:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Mimi siwezi kufanya lolote kwa uamuzi wangu mwenyewe; kama vile ninavyosikia, ndivyo ninavyohukumu; na hukumu ninayotoa ni ya uadilifu,+ kwa sababu ninatafuta, si mapenzi yangu mwenyewe, bali mapenzi+ yake aliyenituma.

  • Yohana 8:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na bado ikiwa ninahukumu, hukumu yangu ni ya kweli, kwa sababu siko peke yangu, bali Baba aliyenituma yuko pamoja nami.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki