16 “Nami nikawaamuru waamuzi wenu wakati huo, na kusema, ‘Mnaposikiliza kesi kati ya ndugu zenu, hukumuni kwa uadilifu+ kati ya mtu na ndugu yake au mkaaji mgeni wake.+
30 Mimi siwezi kufanya lolote kwa uamuzi wangu mwenyewe; kama vile ninavyosikia, ndivyo ninavyohukumu; na hukumu ninayotoa ni ya uadilifu,+ kwa sababu ninatafuta, si mapenzi yangu mwenyewe, bali mapenzi+ yake aliyenituma.