Mathayo 26:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Naye akasonga mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akasali+ na kusema: “Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki+ na kipitilie mbali kutoka kwangu. Lakini, si kulingana na mapenzi yangu,+ bali kulingana na mapenzi yako.”+ Yohana 4:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Yesu akawaambia: “Chakula+ changu ni mimi kufanya mapenzi+ yake aliyenituma na kuimaliza kazi yake.+ Yohana 6:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 kwa sababu nimeshuka kutoka mbinguni+ kufanya, si mapenzi yangu, bali mapenzi yake aliyenituma.+
39 Naye akasonga mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akasali+ na kusema: “Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki+ na kipitilie mbali kutoka kwangu. Lakini, si kulingana na mapenzi yangu,+ bali kulingana na mapenzi yako.”+
34 Yesu akawaambia: “Chakula+ changu ni mimi kufanya mapenzi+ yake aliyenituma na kuimaliza kazi yake.+