Zaburi 40:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee Mungu wangu, nimependezwa na kufanya mapenzi yako,+Na sheria yako imo ndani yangu.+ Marko 14:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Naye akaendelea kusema: “Abba, Baba,+ mambo yote yanawezekana kwako; niondolee kikombe hiki. Lakini si lile ninalotaka, bali lile unalotaka.”+ Luka 22:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 akisema: “Baba, ikiwa unataka, niondolee kikombe hiki. Hata hivyo, acha, si mapenzi yangu,+ bali yako yatendeke.”+ Waebrania 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 ndipo anasema: “Tazama! nimekuja kufanya mapenzi yako.”+ Anaondolea mbali lile la kwanza ili asimamishe lile la pili.+
36 Naye akaendelea kusema: “Abba, Baba,+ mambo yote yanawezekana kwako; niondolee kikombe hiki. Lakini si lile ninalotaka, bali lile unalotaka.”+
42 akisema: “Baba, ikiwa unataka, niondolee kikombe hiki. Hata hivyo, acha, si mapenzi yangu,+ bali yako yatendeke.”+
9 ndipo anasema: “Tazama! nimekuja kufanya mapenzi yako.”+ Anaondolea mbali lile la kwanza ili asimamishe lile la pili.+