Luka 22:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 akisema: “Baba, ikiwa unataka, niondolee kikombe hiki. Hata hivyo, acha, si mapenzi yangu,+ bali yako yatendeke.”+ Yohana 6:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 kwa sababu nimeshuka kutoka mbinguni+ kufanya, si mapenzi yangu, bali mapenzi yake aliyenituma.+ Waebrania 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Katika siku za mwili wake wenye nyama Kristo alitoa dua na pia maombi+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, pamoja na vilio vyenye nguvu+ na machozi, naye akasikiwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa+ Mungu.
42 akisema: “Baba, ikiwa unataka, niondolee kikombe hiki. Hata hivyo, acha, si mapenzi yangu,+ bali yako yatendeke.”+
7 Katika siku za mwili wake wenye nyama Kristo alitoa dua na pia maombi+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, pamoja na vilio vyenye nguvu+ na machozi, naye akasikiwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa+ Mungu.