Wakolosai 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 na kuifuta+ kabisa ile hati iliyoandikwa kwa mkono+ kutupinga, iliyokuwa na amri+ na iliyokuwa ikitupinga sisi;+ na Yeye ameiondoa njiani kwa kuipigilia misumari+ juu ya mti wa mateso.+ Waebrania 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa kusema “agano jipya,” Yeye amelifanya lile la zamani kuchakaa.+ Basi kile kinachofanywa kuchakaa na kuzeeka kiko karibu kutoweka.+
14 na kuifuta+ kabisa ile hati iliyoandikwa kwa mkono+ kutupinga, iliyokuwa na amri+ na iliyokuwa ikitupinga sisi;+ na Yeye ameiondoa njiani kwa kuipigilia misumari+ juu ya mti wa mateso.+
13 Kwa kusema “agano jipya,” Yeye amelifanya lile la zamani kuchakaa.+ Basi kile kinachofanywa kuchakaa na kuzeeka kiko karibu kutoweka.+