Mathayo 20:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yesu akamjibu, akasema: “Hamjui kile mnachoomba. Je, mnaweza kunywa kikombe+ ambacho niko karibu kunywa?” Wakamwambia: “Tunaweza.” Yohana 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Hata hivyo, Yesu akamwambia Petro: “Tia upanga ndani ya ala yake.+ Kikombe ambacho Baba amenipa, je, sipaswi kukinywa?”+
22 Yesu akamjibu, akasema: “Hamjui kile mnachoomba. Je, mnaweza kunywa kikombe+ ambacho niko karibu kunywa?” Wakamwambia: “Tunaweza.”
11 Hata hivyo, Yesu akamwambia Petro: “Tia upanga ndani ya ala yake.+ Kikombe ambacho Baba amenipa, je, sipaswi kukinywa?”+