Mathayo 20:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yesu akamjibu, akasema: “Hamjui kile mnachoomba. Je, mnaweza kunywa kikombe+ ambacho niko karibu kunywa?” Wakamwambia: “Tunaweza.” Mathayo 26:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Tena, kwa mara ya pili,+ akaenda zake na kusali, akisema: “Baba yangu, ikiwa haiwezekani kipitilie mbali ila nikinywe, acha mapenzi yako yatendeke.”+
22 Yesu akamjibu, akasema: “Hamjui kile mnachoomba. Je, mnaweza kunywa kikombe+ ambacho niko karibu kunywa?” Wakamwambia: “Tunaweza.”
42 Tena, kwa mara ya pili,+ akaenda zake na kusali, akisema: “Baba yangu, ikiwa haiwezekani kipitilie mbali ila nikinywe, acha mapenzi yako yatendeke.”+