Mathayo 26:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Naye akasonga mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akasali+ na kusema: “Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki+ na kipitilie mbali kutoka kwangu. Lakini, si kulingana na mapenzi yangu,+ bali kulingana na mapenzi yako.”+ Marko 14:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Naye akaendelea kusema: “Abba, Baba,+ mambo yote yanawezekana kwako; niondolee kikombe hiki. Lakini si lile ninalotaka, bali lile unalotaka.”+ Yohana 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Hata hivyo, Yesu akamwambia Petro: “Tia upanga ndani ya ala yake.+ Kikombe ambacho Baba amenipa, je, sipaswi kukinywa?”+
39 Naye akasonga mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akasali+ na kusema: “Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki+ na kipitilie mbali kutoka kwangu. Lakini, si kulingana na mapenzi yangu,+ bali kulingana na mapenzi yako.”+
36 Naye akaendelea kusema: “Abba, Baba,+ mambo yote yanawezekana kwako; niondolee kikombe hiki. Lakini si lile ninalotaka, bali lile unalotaka.”+
11 Hata hivyo, Yesu akamwambia Petro: “Tia upanga ndani ya ala yake.+ Kikombe ambacho Baba amenipa, je, sipaswi kukinywa?”+