-
Mathayo 26:39Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
39 Naye akienda mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akisali na kusema: “Baba yangu, ikiwa yawezekana, acha kikombe hiki kipitilie mbali nami. Lakini, si kama mimi nipendavyo, bali kama wewe upendavyo.”
-