Marko 14:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Naye akasema: “Abba,* Baba,+ mambo yote yanawezekana kwako; niondolee kikombe hiki. Lakini si kama ninavyotaka, bali unavyotaka.”+ Luka 22:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 akisema: “Baba, ukipenda, niondolee kikombe hiki. Hata hivyo, si kama ninavyopenda, bali mapenzi yako na yatendeke.”+ Yohana 5:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Siwezi kufanya jambo lolote kwa uamuzi wangu mwenyewe. Kama vile ninavyosikia, ndivyo ninavyohukumu; na hukumu yangu ni ya uadilifu+ kwa sababu sitafuti mapenzi yangu mwenyewe, bali mapenzi ya yule aliyenituma.+ Yohana 6:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 kwa maana sikushuka kutoka mbinguni+ kufanya mapenzi yangu, bali mapenzi ya yule aliyenituma.+ Waebrania 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 kisha anasema: “Tazama! nimekuja kufanya mapenzi yako.”+ Anaondoa la kwanza ili asimamishe la pili.
36 Naye akasema: “Abba,* Baba,+ mambo yote yanawezekana kwako; niondolee kikombe hiki. Lakini si kama ninavyotaka, bali unavyotaka.”+
42 akisema: “Baba, ukipenda, niondolee kikombe hiki. Hata hivyo, si kama ninavyopenda, bali mapenzi yako na yatendeke.”+
30 Siwezi kufanya jambo lolote kwa uamuzi wangu mwenyewe. Kama vile ninavyosikia, ndivyo ninavyohukumu; na hukumu yangu ni ya uadilifu+ kwa sababu sitafuti mapenzi yangu mwenyewe, bali mapenzi ya yule aliyenituma.+
9 kisha anasema: “Tazama! nimekuja kufanya mapenzi yako.”+ Anaondoa la kwanza ili asimamishe la pili.