6 Hukutamani dhabihu na toleo,+
Lakini ulifungua masikio yangu ili yasikie.+
Hukuomba dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za dhambi.+
7 Kisha nikasema: “Tazama, nimekuja.
Katika kitabu cha kukunjwa imeandikwa kunihusu.+
8 Ee Mungu wangu, ninafurahia kufanya mapenzi yako,+
Na sheria yako imo ndani yangu kabisa.+