Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 15:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Ndipo Samweli akasema: “Je, Yehova hupendezwa zaidi na dhabihu za kuteketezwa na dhabihu nyinginezo+ kuliko kuitii sauti ya Yehova? Tazama! Kutii ni bora kuliko dhabihu,+ na kusikiliza kuliko mafuta+ ya kondoo dume;

  • Zaburi 51:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana hutaki dhabihu—la sivyo ningeitoa;+

      Hupendezwi na dhabihu nzima ya kuteketezwa.+

      17 Dhabihu zinazompendeza Mungu ni roho iliyovunjika;

      Moyo uliovunjika na kupondeka, Ee Mungu, hutaukataa.*+

  • Hosea 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa maana ninapendezwa na upendo mshikamanifu,* si dhabihu,

      Na kumjua Mungu, badala ya dhabihu nzima za kuteketezwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki