1 Samweli 15:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ndipo Samweli akasema: “Je, Yehova hupendezwa zaidi na dhabihu za kuteketezwa na dhabihu nyinginezo+ kuliko kuitii sauti ya Yehova? Tazama! Kutii ni bora kuliko dhabihu,+ na kusikiliza kuliko mafuta+ ya kondoo dume; Zaburi 51:16, 17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana hutaki dhabihu—la sivyo ningeitoa;+Hupendezwi na dhabihu nzima ya kuteketezwa.+ 17 Dhabihu zinazompendeza Mungu ni roho iliyovunjika;Moyo uliovunjika na kupondeka, Ee Mungu, hutaukataa.*+ Hosea 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana ninapendezwa na upendo mshikamanifu,* si dhabihu,Na kumjua Mungu, badala ya dhabihu nzima za kuteketezwa.+
22 Ndipo Samweli akasema: “Je, Yehova hupendezwa zaidi na dhabihu za kuteketezwa na dhabihu nyinginezo+ kuliko kuitii sauti ya Yehova? Tazama! Kutii ni bora kuliko dhabihu,+ na kusikiliza kuliko mafuta+ ya kondoo dume;
16 Kwa maana hutaki dhabihu—la sivyo ningeitoa;+Hupendezwi na dhabihu nzima ya kuteketezwa.+ 17 Dhabihu zinazompendeza Mungu ni roho iliyovunjika;Moyo uliovunjika na kupondeka, Ee Mungu, hutaukataa.*+
6 Kwa maana ninapendezwa na upendo mshikamanifu,* si dhabihu,Na kumjua Mungu, badala ya dhabihu nzima za kuteketezwa.+