Kutoka 22:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Na usimtendee vibaya mkaaji mgeni wala kumkandamiza,+ kwa sababu ninyi mlikuwa wakaaji wageni katika nchi ya Misri.+ Mambo ya Walawi 19:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Yule mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni pamoja nanyi atakuwa kwenu kama mwenyeji wenu; nawe utampenda kama wewe mwenyewe,+ kwa maana mlikuwa wakaaji wageni katika nchi ya Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu. Mambo ya Walawi 24:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “‘Uamuzi mmoja wa hukumu utatumika kwenu. Mkaaji mgeni atakuwa sawa na mwenyeji,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.’”+
21 “Na usimtendee vibaya mkaaji mgeni wala kumkandamiza,+ kwa sababu ninyi mlikuwa wakaaji wageni katika nchi ya Misri.+
34 Yule mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni pamoja nanyi atakuwa kwenu kama mwenyeji wenu; nawe utampenda kama wewe mwenyewe,+ kwa maana mlikuwa wakaaji wageni katika nchi ya Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.
22 “‘Uamuzi mmoja wa hukumu utatumika kwenu. Mkaaji mgeni atakuwa sawa na mwenyeji,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.’”+