Mambo ya Walawi 19:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mgeni anayeishi pamoja nanyi mtamwona kama mwenyeji;+ nanyi lazima mumpende kama mnavyojipenda wenyewe, kwa maana mlikuwa wageni nchini Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu. Mambo ya Walawi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 19:34 Mnara wa Mlinzi (Funzo),12/2021, uku. 12
34 Mgeni anayeishi pamoja nanyi mtamwona kama mwenyeji;+ nanyi lazima mumpende kama mnavyojipenda wenyewe, kwa maana mlikuwa wageni nchini Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.