Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Sheria moja itakuwapo kwa ajili ya mwenyeji na kwa ajili ya mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yenu.”+

  • Mambo ya Walawi 17:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “‘Na mtu yeyote wa nyumba ya Israeli au mkaaji mgeni yeyote anayekaa akiwa mgeni katikati yenu atakayekula namna yoyote ya damu,+ nitauweka uso wangu dhidi ya nafsi+ hiyo inayokula damu, nami hakika nitamkatilia mbali kutoka katikati ya watu wake.

  • Mambo ya Walawi 19:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Yule mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni pamoja nanyi atakuwa kwenu kama mwenyeji wenu; nawe utampenda kama wewe mwenyewe,+ kwa maana mlikuwa wakaaji wageni katika nchi ya Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.

  • Hesabu 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Na ikiwa mkaaji mgeni atakuwa akikaa pamoja nanyi akiwa mgeni, yeye pia atamtayarishia Yehova dhabihu ya pasaka.+ Anapaswa kufanya kulingana na sheria ya pasaka na kulingana na utaratibu wake wa kawaida.+ Kutakuwa na sheria moja kwa ajili yenu, kwa ajili ya mkaaji mgeni na kwa ajili ya mwenyeji wa nchi.’”+

  • Hesabu 15:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kutakuwa na sheria moja na uamuzi mmoja wa hukumu kwa ajili yenu na kwa ajili ya mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni pamoja nanyi.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki