Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Isipokuwa tu nyama pamoja na nafsi+ yake—damu+ yake—msile.+

  • Mambo ya Walawi 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “‘Ni sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili ya vizazi vyenu, katika makao yenu yote: msile mafuta yoyote wala damu+ yoyote.’”

  • Mambo ya Walawi 7:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “‘Wala msile damu+ yoyote mahali popote mnapokaa, iwe ni ya ndege au ya mnyama.

  • Mambo ya Walawi 19:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “‘Msile kitu chochote pamoja na damu.+

      “‘Msitafute ishara za bahati,+ wala msifanye uchawi.+

  • Kumbukumbu la Torati 12:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ila tu damu msile.+ Utaimwaga kwenye udongo kama maji.+

  • 1 Samweli 14:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Basi wakamwambia Sauli, wakisema: “Tazama! Watu wanamtendea dhambi Yehova kwa kula pamoja na damu.”+ Naye akasema: “Mmetenda kwa hila. Kwanza kabisa, viringisheni kwangu jiwe kubwa.”

  • Matendo 15:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 kuendelea kujiepusha na vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu+ na damu+ na vitu vilivyonyongwa+ na uasherati.+ Mkijiepusha kwa uangalifu na mambo haya,+ mtafanikiwa. Afya njema kwenu!”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki