10 “‘Na mtu yeyote wa nyumba ya Israeli au mkaaji mgeni yeyote anayekaa akiwa mgeni katikati yenu atakayekula namna yoyote ya damu,+ nitauweka uso wangu dhidi ya nafsi+ hiyo inayokula damu, nami hakika nitamkatilia mbali kutoka katikati ya watu wake.
33 Basi wakamwambia Sauli, wakisema: “Tazama! Watu wanamtendea dhambi Yehova kwa kula pamoja na damu.”+ Naye akasema: “Mmetenda kwa hila. Kwanza kabisa, viringisheni kwangu jiwe kubwa.”
25 “Kwa hiyo waambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Mnaendelea kula pamoja na damu,+ nayo macho yenu mnaendelea kuyainua kuelekea sanamu zenu za mavi,+ nanyi mnaendelea kuimwaga damu.+ Kwa hiyo je, mnapaswa kuimiliki nchi hii?+
29 kuendelea kujiepusha na vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu+ na damu+ na vitu vilivyonyongwa+ na uasherati.+ Mkijiepusha kwa uangalifu na mambo haya,+ mtafanikiwa. Afya njema kwenu!”