Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 35:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi Yakobo akawaambia watu wa nyumba yake na wote waliokuwa pamoja naye: “Iondoleeni mbali miungu ya kigeni iliyo katikati yenu,+ nanyi mjisafishe na kubadili nguo zenu za kujitanda,+

  • Kutoka 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Usiwe na miungu mingine+ yoyote dhidi ya uso wangu.

  • Kutoka 34:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 usije ukafanya agano na wakaaji wa nchi hiyo, kwa maana hakika watafanya uasherati na miungu+ yao na kutolea miungu yao dhabihu,+ na mtu fulani hakika atakualika, nawe hakika utakula sehemu ya dhabihu yake.+

  • Ezekieli 20:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 “Kwa hiyo iambie nyumba ya Israeli, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Je, ninyi mnajitia unajisi katika njia za mababu zenu,+ na je, katika kufuatilia machukizo yao mnaingilia kufanya uasherati?+

  • 1 Wakorintho 8:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi kuhusu vyakula vinavyotolewa kwa sanamu:+ tunajua sisi sote tuna ujuzi.+ Ujuzi huleta majivuno, lakini upendo hujenga.+

  • 1 Wakorintho 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa hiyo, wapendwa wangu, ikimbieni+ ibada ya sanamu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki