Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na ikawa kwamba mwamuzi huyo alipokufa, walikuwa wakigeuka na kutenda kwa njia ya uharibifu hata zaidi ya baba zao kwa kufuata miungu mingine ili kuitumikia na kuiinamia.+ Hawakujiepusha na matendo yao na tabia yao ya ukaidi.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 21:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 bali unatembea katika njia ya wafalme wa Israeli+ na kuwafanya Yuda na wakaaji wa Yerusalemu wafanye uasherati+ kama vile nyumba ya Ahabu ilivyofanya watu wafanye uasherati,+ na hata umewaua ndugu zako, nyumba ya baba yako, waliokuwa bora kuliko wewe;+

  • Yeremia 7:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nawe utawaambia, ‘Hili ndilo taifa ambalo watu wake hawakuitii sauti ya Yehova Mungu wake,+ nao hawakushika nidhamu.+ Uaminifu umeangamia, nao umekatiliwa mbali kutoka katika kinywa chao.’+

  • Yeremia 13:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 matendo yako ya uzinzi+ na milio yako,+ mwenendo wako mpotovu katika ukahaba. Juu ya vilima, katika mashamba, nimeyaona machukizo yako.+ Ole wako, Ee Yerusalemu! Huwezi kuwa safi+—baada ya muda gani zaidi?”+

  • Matendo 7:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 “Ninyi watu wenye shingo ngumu na wasiotahiriwa katika mioyo+ na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo ninyi mnavyofanya.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki