13 Lakini unafuata njia ya wafalme wa Israeli+ na kusababisha watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu wafanye ukahaba wa kiroho+ kama ukahaba uliofanywa na nyumba ya Ahabu,+ na hata uliwaua ndugu zako mwenyewe,+ watu wa nyumba ya baba yako, waliokuwa bora kuliko wewe.