Zaburi 78:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nao wasiwe kama mababu zao,+Kizazi chenye ukaidi na chenye kuasi,+Kizazi ambacho hakikuwa kimetayarisha moyo wake+Na ambacho roho yake haikuwa yenye kutegemeka kwa Mungu.+ Isaya 48:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa sababu nilijua kwamba wewe ni mgumu+ na kwamba shingo yako ni kano ya chuma+ na paji la uso wako ni shaba,+
8 Nao wasiwe kama mababu zao,+Kizazi chenye ukaidi na chenye kuasi,+Kizazi ambacho hakikuwa kimetayarisha moyo wake+Na ambacho roho yake haikuwa yenye kutegemeka kwa Mungu.+
4 Kwa sababu nilijua kwamba wewe ni mgumu+ na kwamba shingo yako ni kano ya chuma+ na paji la uso wako ni shaba,+