2 Mambo ya Nyakati 36:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini waliendelea kuwadhihaki+ wale wajumbe wa Mungu wa kweli na kuyadharau maneno+ yake na kuwafanyia mzaha+ manabii wake, mpaka ghadhabu+ ya Yehova ikapanda juu ya watu wake, mpaka kukawa hakuna kuponywa.+ Zaburi 78:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nao wasiwe kama mababu zao,+Kizazi chenye ukaidi na chenye kuasi,+Kizazi ambacho hakikuwa kimetayarisha moyo wake+Na ambacho roho yake haikuwa yenye kutegemeka kwa Mungu.+ Isaya 46:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Nisikilizeni, ninyi wenye moyo mkaidi,+ ninyi mlio mbali na uadilifu.+ Zekaria 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini waliendelea kukataa kusikiliza,+ nao wakaendelea kugeuza bega kwa ukaidi,+ wakafanya masikio yao kuwa magumu mno yasiweze kusikia.+
16 Lakini waliendelea kuwadhihaki+ wale wajumbe wa Mungu wa kweli na kuyadharau maneno+ yake na kuwafanyia mzaha+ manabii wake, mpaka ghadhabu+ ya Yehova ikapanda juu ya watu wake, mpaka kukawa hakuna kuponywa.+
8 Nao wasiwe kama mababu zao,+Kizazi chenye ukaidi na chenye kuasi,+Kizazi ambacho hakikuwa kimetayarisha moyo wake+Na ambacho roho yake haikuwa yenye kutegemeka kwa Mungu.+
11 Lakini waliendelea kukataa kusikiliza,+ nao wakaendelea kugeuza bega kwa ukaidi,+ wakafanya masikio yao kuwa magumu mno yasiweze kusikia.+