Zaburi 76:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wenye nguvu moyoni wameporwa,+Wamesinzia na kulala usingizi,+Wala hakuna hata mmoja wa wanaume mashujaa ambaye ameiona mikono yake.+ Isaya 48:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa sababu nilijua kwamba wewe ni mgumu+ na kwamba shingo yako ni kano ya chuma+ na paji la uso wako ni shaba,+ Matendo 7:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 “Ninyi watu wenye shingo ngumu na wasiotahiriwa katika mioyo+ na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo ninyi mnavyofanya.+
5 Wenye nguvu moyoni wameporwa,+Wamesinzia na kulala usingizi,+Wala hakuna hata mmoja wa wanaume mashujaa ambaye ameiona mikono yake.+
4 Kwa sababu nilijua kwamba wewe ni mgumu+ na kwamba shingo yako ni kano ya chuma+ na paji la uso wako ni shaba,+
51 “Ninyi watu wenye shingo ngumu na wasiotahiriwa katika mioyo+ na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo ninyi mnavyofanya.+