Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Unitazame; unijibu, Ee Yehova Mungu wangu.

      Uyafanye macho yangu yang’ae,+ ili nisilale usingizi katika kifo.+

  • Isaya 37:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Na malaika+ wa Yehova alitoka, akapiga na kuwaua watu 185,000 katika kambi ya Waashuru.+ Watu walipoamka asubuhi na mapema, tazama, wote walikuwa mizoga iliyokufa.+

  • Yeremia 51:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 “Wakati watakapokuwa wamesisimuka nitaweka karamu zao na kuwalewesha, ili wafurahi;+ nao watalala usingizi unaodumu mpaka wakati usio na kipimo, ambamo hawataamka,”+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki