Yeremia 25:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Nawe utawaambia, ‘Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Kunyweni, mlewe, mtapike na kuanguka hivi kwamba msiweze kusimama+ kwa sababu ya upanga ninaotuma katikati yenu.”’+ Danieli 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wakanywa divai, wakaisifu miungu ya dhahabu na fedha, shaba, chuma, miti na mawe.+
27 “Nawe utawaambia, ‘Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Kunyweni, mlewe, mtapike na kuanguka hivi kwamba msiweze kusimama+ kwa sababu ya upanga ninaotuma katikati yenu.”’+