6 Nami katika hasira yangu niliendelea kuvikanyagia chini vikundi vya watu, na katika ghadhabu yangu nikaendelea kuwalewesha+ na kuimwaga chini damu yao inayobubujika.”+
16 Utashibishwa kwa aibu badala ya utukufu.+ Kunywa pia, wewe mwenyewe,+ ukaonwe kuwa mtu ambaye hajatahiriwa.+ Kikombe cha mkono wa kuume wa Yehova kitakufikia,+ na kutakuwako fedheha juu ya utukufu wako;