Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 63:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nami katika hasira yangu niliendelea kuvikanyagia chini vikundi vya watu, na katika ghadhabu yangu nikaendelea kuwalewesha+ na kuimwaga chini damu yao inayobubujika.”+

  • Maombolezo 4:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Furahi na kushangilia,+ Ee binti Edomu,+ wewe unayekaa katika nchi ya Usi.+

      Kwako wewe pia kikombe kitapita.+ Utalewa na kujionyesha ukiwa uchi.+

  • Habakuki 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Utashibishwa kwa aibu badala ya utukufu.+ Kunywa pia, wewe mwenyewe,+ ukaonwe kuwa mtu ambaye hajatahiriwa.+ Kikombe cha mkono wa kuume wa Yehova kitakufikia,+ na kutakuwako fedheha juu ya utukufu wako;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki