Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 75:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Kwa maana kuna kikombe mkononi mwa Yehova,+

      Kimejaa mchanganyiko, nayo divai inatoa povu.

      Na hakika kutoka hicho yeye atayamwaga machicha yake;

      Waovu wote wa dunia watayakamua, na kunywa.”+

  • Isaya 51:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Bwana wako, Yehova, Mungu wako, anayewashindania+ watu wake, amesema hivi: “Tazama! Nitakichukua kutoka mkononi mwako kile kikombe kinachosababisha kuyumba-yumba.+ Ile bilauri, kikombe changu cha ghadhabu—hutarudia kukinywea tena.+

  • Yeremia 51:57
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 57 Nami nitawalewesha wakuu wake na watu wake wenye hekima, magavana wake na watawala-wasaidizi wake na wanaume wake wenye nguvu,+ nao watalala usingizi unaodumu mpaka wakati usio na kipimo, ambamo hawataweza kuamka,”+ asema Mfalme,+ ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi.+

  • Ufunuo 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mlipeni sawa na vile yeye mwenyewe alivyolipa,+ na mtendeeni mara mbili ya hivyo, ndiyo, mara mbili ya hesabu ya mambo aliyoyatenda;+ katika kikombe+ ambacho ndani yake alitia mchanganyiko mtilieni+ mchanganyiko mara mbili+ ya hivyo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki