Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 21:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Macho yake yataona kudhoofika kwake,

      Naye atakunywa kutokana na ghadhabu ya Mweza-Yote.+

  • Zaburi 11:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Yeye atawanyeshea waovu mitego, moto na kiberiti+

      Na upepo wenye kuunguza, vikiwa fungu la kikombe chao.+

  • Yeremia 25:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana Yehova Mungu wa Israeli ameniambia hivi: “Chukua kikombe hiki cha divai ya ghadhabu kutoka mkononi mwangu, nawe ukinyweshe+ mataifa yote ambayo ninakutuma kwao.

  • Yeremia 25:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na iwe kwamba wakikataa kukichukua kikombe kutoka mkononi mwako ili wanywe, wewe pia utawaambia, ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Bila shaka mtakinywa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki