Ayubu 14:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mwanadamu pia hulala chini wala haamki.+Hawataamka mpaka mbingu itakapokuwa haipo tena,+Wala hawataamshwa katika usingizi wao.+ Yeremia 51:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 “Wakati watakapokuwa wamesisimuka nitaweka karamu zao na kuwalewesha, ili wafurahi;+ nao watalala usingizi unaodumu mpaka wakati usio na kipimo, ambamo hawataamka,”+ asema Yehova.
12 Mwanadamu pia hulala chini wala haamki.+Hawataamka mpaka mbingu itakapokuwa haipo tena,+Wala hawataamshwa katika usingizi wao.+
39 “Wakati watakapokuwa wamesisimuka nitaweka karamu zao na kuwalewesha, ili wafurahi;+ nao watalala usingizi unaodumu mpaka wakati usio na kipimo, ambamo hawataamka,”+ asema Yehova.