18 Wale wanaonitesa na wapatwe na aibu,+ lakini mimi binafsi nisipate aibu.+ Waache wao waingiwe na hofu, lakini mimi binafsi nisiingiwe na hofu. Leta juu yao ile siku ya msiba,+ na kuwavunja kwa mvunjiko mara mbili.+
21 “Juu ya nchi ya Merathaimu—njoo juu yake+ na juu ya wakaaji wa Pekodi.+ Mauaji ya kikatili na maangamizi na yawafikie,” asema Yehova, “na ufanye kulingana na yote ambayo nimekuamuru wewe.+