Ufunuo 14:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 yeye pia atakunywa kutokana na divai ya hasira ya Mungu inayomwagwa bila kuchanganywa na kitu ndani ya kikombe cha ghadhabu yake,+ naye atateswa+ kwa moto na kiberiti+ machoni pa malaika watakatifu na machoni pa Mwana-Kondoo.
10 yeye pia atakunywa kutokana na divai ya hasira ya Mungu inayomwagwa bila kuchanganywa na kitu ndani ya kikombe cha ghadhabu yake,+ naye atateswa+ kwa moto na kiberiti+ machoni pa malaika watakatifu na machoni pa Mwana-Kondoo.