Zaburi 75:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana kuna kikombe mkononi mwa Yehova,+Kimejaa mchanganyiko, nayo divai inatoa povu.Na hakika kutoka hicho yeye atayamwaga machicha yake;Waovu wote wa dunia watayakamua, na kunywa.”+ Yeremia 25:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nao lazima wanywe na kuyumba-yumba na kutenda kama wenda-wazimu kwa sababu ya upanga ninaotuma katikati yao.”+ Ufunuo 14:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 yeye pia atakunywa kutokana na divai ya hasira ya Mungu inayomwagwa bila kuchanganywa na kitu ndani ya kikombe cha ghadhabu yake,+ naye atateswa+ kwa moto na kiberiti+ machoni pa malaika watakatifu na machoni pa Mwana-Kondoo.
8 Kwa maana kuna kikombe mkononi mwa Yehova,+Kimejaa mchanganyiko, nayo divai inatoa povu.Na hakika kutoka hicho yeye atayamwaga machicha yake;Waovu wote wa dunia watayakamua, na kunywa.”+
16 Nao lazima wanywe na kuyumba-yumba na kutenda kama wenda-wazimu kwa sababu ya upanga ninaotuma katikati yao.”+
10 yeye pia atakunywa kutokana na divai ya hasira ya Mungu inayomwagwa bila kuchanganywa na kitu ndani ya kikombe cha ghadhabu yake,+ naye atateswa+ kwa moto na kiberiti+ machoni pa malaika watakatifu na machoni pa Mwana-Kondoo.