Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 51:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Babiloni amekuwa kikombe cha dhahabu mkononi mwa Yehova,+ yeye anailewesha dunia yote.+ Mataifa yamekunywa kutokana na divai yake.+ Ndiyo sababu mataifa yanaendelea kutenda kiwazimu.+

  • Maombolezo 4:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Furahi na kushangilia,+ Ee binti Edomu,+ wewe unayekaa katika nchi ya Usi.+

      Kwako wewe pia kikombe kitapita.+ Utalewa na kujionyesha ukiwa uchi.+

  • Ezekieli 23:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Nawe utalazimika kukinywa na kukimaliza,+ na vigae vyake utavitafuna, na maziwa yako utayang’oa.+ “Kwa maana mimi mwenyewe nimesema,” asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.’

  • Nahumu 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Wewe mwenyewe utalewa pia;+ utakuwa kitu kilichofichika.+ Wewe mwenyewe pia utatafuta ngome ya kujikinga kutoka kwa adui.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki